Kutoka Bungeni: Serikali Kujenga Vyuo Vya VETA kila Wilaya
Serikali kupitia Wizara ya Elimu,Sayansi,Teknolojia na Ufundi inatarajia kujenga Vyuo vya Ufundi (VETA) kwa kila wilaya ili kutoa fursa kwa wananchi wengi hususani vijana kupata mafunzo mbalimbali ya...
View ArticleDiwani Wa CUF Auawa Kwa Kucharangwa Mapanga Na Watu Wasiojulikana
Diwani wa kata ya Kimwani iliyoko Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera, Silvester Miga (CUF) amepoteza maisha baada ya kuvamiwa na kukatwa na mapanga nyumbani kwake, usiku wa kuamkia jana. Kamanda wa Polisi...
View ArticleAfande Sele Atoa Wosia….Asema Akifa Achomwe Moto Badala ya Kuzikwa
Msanii Afande Sele ambaye anawakilisha mkoa wa Morogoro katika muziki amefunguka na kusema kuwa hataki kuja kuwa binadamu tena bali anahitaji kuwa Malaika. Afande Selle alisema hayo kupitia kipindi...
View ArticleCRDB Yawatoa Hofu Wateja Wake Baada Ya Serikali Kuagiza Akaunti za Taasisi...
(Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu serikali kuhamishia akaunti zote za mapato Benki Kuu. Kulia ni Mkurugenzi...
View ArticleRais Mugabe bila woga kaeleza yote aliyoambiwa na Rais mstaafu Jakaya Kikwete...
Moja ya vitu ambavyo vilizungumzwa na Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe kwenye kikao cha Umoja wa Afrika Addis Ababa Ethiopia ni kauli anayodai aliambiwa na Rais mstaafu wa Tanzania Jakaya Kikwete...
View ArticleTamko La Serikali Kuhusu Mwenendo Wa Ugonjwa Wa Kipindupindu Nchini
Tamko Kuhusu Mwenendo Wa Ugonjwa Wa Kipindupindu Nchini Lililotolewa Na Mhe. Ummy Mwalimu (mb); Waziri Wa Afya, Maendeleo Ya Jamii, Jinsia, Wazee Na Watoto, Tarehe 1 Februari 2016 Ndugu Waandishi wa...
View ArticleBungeni: Serikali Kuajiri Vijana 71,408 Mwaka Huu…….Halmashauri Zaagizwa...
Serikali katika mwaka wa fedha 2016/2017 imepanga kuongeza ajira kwa vijana ili kukabiliana na changamoto ya ukosefu wa ajira kwa vijana wengi wa kitanzania kwa kuongeza ajira na kuwezesha wengine...
View ArticleBungeni: Mbunge Magdalena Sakaya Aituhumu Serikali Kuwa Chanzo Cha Ukosefu Wa...
Mbunge wa Jimbo la Kaliua Mkoani Tabora Magdalena Sakaya CUF amesema tatizo kubwa la ajira nchi hii linachangiwa na serikali yenyewe. Magdalena ameyasema hayo wakati akichangia mpango wa serikali kwa...
View ArticleBungeni: Serikali Kuimarisha Miundombinu Kuboresha Utalii Nchini.
Serikali imejipanga kuimarisha miundombinu inayoelekea kwenye mbuga za wanyama na vituo vingine vya utalii nchini ili kuboresha utalii wa ndani na wa nje ya nchi kwa kujenga barabara ili kuwezesha...
View ArticleBAKWATA Waunga Mkono Uchaguzi wa Marudio Zanzibar
WAKATI Chama cha wananchi CUF ambacho ni chama kikuu cha Upinzani visiwani Zanzibar kikiwa kimesusia uchaguzi wa marudio ambao unafanyika Marchi 20 ya mwaka huu,Baraza la Waislam (BAKWATA) limesema...
View ArticlePolisi Yapiga Marufuku maandamano ya vijana wa Chadema kwenda Ikulu Kesho
Jeshi la Polisi limetoa tamko kuhusu tangazo la Baraza la Vijana wa Chadema (BAVICHA) kuwa kesho wamepanga kufanya maandamano hadi Ikulu kwa lengo la kuishinikiza serikali kubadili msimamo wake kuhusu...
View ArticleMagazeti Ya Leo Jumatano Ya Februari 3
[via LEKULE] Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat
View ArticleBei ya Mafuta Yashuka Tena
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imetangaza bei kikomo ya mafuta, ambapo bei ya dizeli imeshuka kutoka Sh. 1,747 hadi Sh 1,600, likiwa ni punguzo la Sh. 147 kwa lita....
View ArticleKaya 50 karibu na ghorofa 16 eneo la Indira Ghandi zapewa siku 3 kupisha...
Zaidi ya kaya 50 zinazoishi kuzunguka jengo la ghorofa 16 lililopo mtaa wa Indira Gadhi katikati ya jiji ambalo linatakiwa kubomolewa zimepewa siku tatu ziwe zimeondoka kwa muda ili kupisha zoezi hilo...
View ArticleJela miaka 5 kwa kusafirisha Wahamiaji Haramu
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Iringa imewahukumu kwenda jela miaka mitano au kulipa faini ya Sh milioni 1.5 kila mmoja, dereva Hansi Mwakyoma (28) na utingo wake, Alex Adam (32) baada ya kukamatwa...
View ArticleWabunge Wa CCM Waungana Na Upinzani Kuibana Serikali Kuhusu Ujenzi Wa Reli,...
Bila kujali itikadi za vyama vyao, wabunge wameukosoa mwongozo wa kuandaa mpango wa Bajeti ya Serikali ya mwaka wa fedha wa 2016/17, wakihoji suala la ujenzi wa reli ya kati kwa viwango vya kimataifa...
View ArticleArticle: Re-assess Policy on Private Sector Education
The on-going rift between the Government of Tanzania and owners of private schools over the government’s decision to regulate and dictate tuition and other fees charged by private schools in the...
View ArticlePolisi Kudhibiti Uporaji Wa Fedha Kwenye Mabenk
(Na Raymond Mushumbusi-MAELEZO) Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kupitia Jeshi la Polisi imejipanga kudhibiti uhalifu unaofanywa na na baadhi watu kwa kupora fedha za wafanyabiashara au watu binafsi...
View ArticleViongozi wa Dini Wazidi Kutofautiana Kuhusu Sakata La Zanzibar…….Sheikh Ponda...
Mgogoro kuhusu kurudiwa kwa uchaguzi viswani Zanzibar unazidi kupasua nchi, sasa viongozi wa Dini ya Kiislam wametofautiana. Ikiwa ni siku moja baada ya Alhad Mussa Salum ambaye ni Sheikh Mkuu wa Dar...
View ArticleLHRC Wamtaka Mwenyekiti wa ZEC Kujiuzulu Mara Moja……Chama cha CCK Chamvua...
Kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC kimemtaka Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Zanzibar Jecha Salum Jecha ajiuzulu wadhifa huo kutokana na hatua aliyochukuwa ya kufuta uchaguzi na kutangaza...
View Article