Ujambazi Dar, 63 wamekamatwa na silaha zao ndani ya siku 7
leo April 8 2016 Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es salaam kupitia kwa Kamishna Simon Sirro , limetangaza kuwakamata majambazi 63 wa matukio ya unyang’anyi wa kutumia silaha katika oparesheni...
View ArticleRidhiwani Kikwete Akana kufanya biashara na Kampuni Ya Lugumi Inayotuhumiwa...
Mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete, amekanusha taarifa zilizosambaa katika mitandao ya kijamii na kwenye vyombo vya habari kuwa yeye ni mmoja wa wamiliki wa kampuni ya Lugumi, inayodaiwa kupewa...
View ArticleYanga wameimaliza Mwadui FC wanaisubiri Mtibwa Sugar mchezo wa kiporo
April 13 klabu ya Dar es Salaam Young Africans iliendelea na harakati zake za kumaliza viporo vya mechi za Ligi Kuu soka Tanzania bara, klabu ya Yanga ilikuwa na viporo vitatu ila April 13 2016...
View ArticleMagazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 13 2016 kwenye,Udaku, Hardnews...
[via LEKULE] Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat
View ArticleBreaking: Mahakama Dar imewaachia huru aliyekuwa Mkurugenzi wa Tanesco...
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), William Mhando , mke wake Eva Mhando, walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na...
View ArticleNMB yatoa neema kwa Hospitali na vituo vya Afya Nchini
Benki ya NMB leo imesaini makubaliano na shirika lisilo la kiserikali la STICHTING MEDICAL CREDIT FUND (MCF) la nchini Uholanzi kwaajili ya kutoa fursa za mikopo nafuu kwa hospitali, vituo vya Afya na...
View ArticlePicha 5: Aliyemtukana Rais magufuli facebook kafikishwa mahakamani leo
Kwa taarifa zaidi kuhusu kijana aliyemtukana Rais Magufuli facebook kufikishwa mahakamani, Mwanasheria mwandamizi Mkuu wa Mamlaka ya mawasiliano Tanzania ‘TCRA’, Johanes Karungula . Mtuhumiwa . [via...
View ArticleRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Dkt.Abduhamid Yahya Mzee kuwa Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi katika hafla iliyofanyika...
View ArticlePICHA 5: Imenifikia taarifa ya Gari kuzama Baharini April 20 2016
February 2016 iliripotiwa ripoti ya kuzima injini ya Pantoni na kuleta tafrani kwa abiria, sasa ni takribani miezi miwili tangu tukio hilo litokee. Daraja la Nyerere ‘Kigamboni’ lililozinduliwa jana...
View ArticlePICHAZ 8: Mafuriko kijiji cha Changalawe Mikumi yamemfanya Prof Jay kwenda...
Mbunge wa Jimbo la Mikumi Joseph Haule a.ka Profesa Jay April 25 2016 siku moja baada ya kupeleka msaada wa mabomba Ruaha amelazimika kwenda kuwatembelea wanakijiji wa Changalawe kata ya...
View Article