Emergency Back Tie Recloser
View of the emergency back tie recloser, the can plant feeder and metering, the pole line feeding the main plant with metering, a recloser and the aerial fiber optic line. [via LEKULE] Follow us...
View ArticleWahariri wa Mawio, MwanaHALISI waachiwa kwa dhamana
MHARIRI wa gazeti la Mawio, Simon Mkina na Mhariri wa gazeti la MwanaHALISI ambaye pia ni mwandishi Mwandamizi wa gazeti la Mawio, Jabir Idrissa jana wameachia kwa dhamana na Jeshi la Polisi, baada ya...
View ArticleMagazeti Ya Leo Jumatano Ya Januari 20
[via LEKULE] Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat
View ArticleProf. Elisante Ole Gabriel akutana na Makamu wa Rais wa FIFA
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel kulia akiongea na Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) Bw. Salman Bin Ebrahim Al Khalifa katikati...
View ArticleUN: Maelfu ya raia wameuawa Iraq
Takriban watu milioni 3.2 wamelazimika kuhama makwao nchini Iraq Umoja wa Mataifa unasema kuwa ghasia zinazowakumba raia nchini Iraq ni nyingi huku takriban watu 18,800 wakiuawa kati ya tarehe mosi...
View ArticleAtiwa Mbaroni Akituhumiwa Kumpa Ujauzito Dada Yake wa Miaka 14
POLISI wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa inamshikilia mkazi wa kijiji cha Ulinji, Manispaa ya Sumbawanga mwenye umri wa miaka 28 akituhumiwa kumpatia ujauzito dada yake mwenye umri wa miaka 14...
View ArticleMahakama Yamwachia Huru David Kafulila
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Kigoma imemuachia huru aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini, David Kafulila, baada ya upande wa mashtaka kushindwa kupeleka mashahidi mahakamani hapo kwa zaidi...
View ArticleMkuu wa Oganaizesheni wa NCCR-Mageuzi Amtaka LOWASSA Ajieleze Kama Ataendelea...
Kufuatia kauli ya aliyekuwa mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwavuli wa Ukawa, Edward Lowassa ya kugombea tena urais mwaka 2020, Mkuu wa Oganaizesheni...
View ArticleRais Magufuli Kuwassili Jijini Arusha Leo Kwa Ziara Ya Kikazi Ya Siku Mbili
Rais John Magufuli anatarajiwa kuwasili mkoani hapa leo kwa ziara ya kikazi ya siku mbili. Hii ni ziara yake ya kwanza tangu alipoapishwa kushika wadhifa huo Oktoba 25, mwaka jana. Maandalizi ya...
View ArticleWaziri Mkuu Mstaafu ,Mizengo Pinda Awafunda Wabunge Wa CCM…..Awataka Kujenga...
WAZIRI Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda amewataka wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kujenga hoja vizuri katika Bunge linalotarajia kuanza vikao vyake wiki ijayo mjini Dodoma, kwa kuwa wabunge wa vyama...
View ArticleMkata Vichwa wa Kundi la kigaidi la Dola ya Kiislam (IS) Naye Kauawa
MKATAJI vichwa vya raia kutoka mataifa ya magharibi katika kundi la kigaidi la Dola ya Kiislam (IS), Mohammed Emwazi, ametangazwa kuuawa. Emwazi anatambuliwa zaidi kwa jina la Jihadi John, ndiye...
View ArticleShirikisho la Wamiliki wa Shule Binafsi Waipongeza Serikali Kwa Kufuta Mfumo...
Shirikisho la wamiliki wa shule na vyuo visivyo vya serikali TAMONGSO watoa pongezi kwa Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi Teknolojia na Ufundi kwa kuliagiza Baraza la Taifa la Mitihani kufuta...
View ArticleWaziri Mkuu Aagiza TAMISEMI Isimamie Vizuri Mikoa, Halmashauri
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ndiyo kitovu cha nchi na kwamba kila Mtanzania ameelekeza jicho lake pale kwa sababu anasubiri...
View ArticleChina kusaidia ukuaji wa sekta za Habari, Filamu na Sanaa nchini
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bibi. Zamaradi Kawawa (kulia) akimkaribisha ukumbini Naibu Waziri wa Habari, Utangazaji na Utamaduni wa Serikali ya Jamhuri ya watu wa China Mhe. Tian Jin...
View ArticleKikao cha kwanza cha kamisheni ya kukabiliana na maafa chakutana Zanzibar
Kikao cha kwanza cha Kamisheni ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar chakutana chini ya mwenyekiti wake Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ofisini kwa Vuga Mjini Zanzibar. Balozi Seif...
View ArticleEnter These Hardware Contests Now
Turn your ideas into cash. These contests are open to everyone, not just students. Arduino Maker Challenge The dev board maker’s contest has been extended to the end of the month. You could win one of...
View ArticleCustom PCB Design with an EFM8 Microcontroller
Tips and techniques for incorporating EFM8 microcontrollers into your custom hardware. Supporting Information The EFM8 Series from Silicon Laboratories Beyond the Dev Board The wide availability of...
View ArticleMagazeti Ya Leo Ijumaa Ya Januari 22
[via LEKULE] Follow us @automobileheat – lists / @sectorheat
View ArticleBomu lalipuka katika mgahawa Somalia
Bomu lililotegwa ndani ya gari limelipuka nje ya mgahawa mmoja uliopo katika ufukwe wa bahari katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu,kulingana na maafisa wa polisi. Walioshuhudia wamemwelezea mwandishi...
View Article